→ Nitaseti audience ya watu ambao hawajakufollow bado, wenye interest zinazofanana na biashara yako.
→ Nitaseti followers waliokufollow wasione tangazo lako la kupata new followers!
→ Nitaseti audience waone watu ambao tayari wamewahi ku-interact na page yako ya biashara ~ waliokufollow, walitembelea profile yako, waliolike, walicomment, waliokudm na kupotelea mitini, wote waliotazama video zako na wengine wanaofanana tabia na watu wanaokufuatilia!
→ Hao ndo watu wana asilimia kubwa kununua na wanaoweza kukutafuta WhatsApp kununua!
Tingting ni neno nililobuni ikimaanisha mlio wa sms ya muamala baada ya mteja kulipia!
Huduma ya Tingting Audience Setup inakusaidia kuhakikisha matangazo yako ya sponsored ads yanaonekana na watu wanaohitaji kile unachouza na kununua unachouza na sio kuonekana kwa yeyote ambaye hana interest na kile unachouza!
Amani Longishu, ni mwalimu wa biashara kwenye mitandao ya kijamii na mtaalamu wa masoko mtandaoni tangu julai 2019.
Amewasaidia wafanyabiashara zaidi ya 1500+ kujibrand instagram, facebook, tiktok na Whatsapp na kupata wateja wanaonunua!
Pia ndio mtayarishaji na muongozaji wa Amani Business School Podcast inayotoa dondoo kuhusu biashara, uuzaji kwenye mitandao ya kijamii na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kupata wateja na kujenga chapa.
LIPA NAMBA 35982856
Jina: AMANI ISAYA LONGISHU
Kiasi: Tsh 150,000
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!
NMB BANK
Account Namba: 23010007065
Jina La Akaunti: AMANI LONGISHU
Kiasi: Tsh 150,000
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!