Sponsored Ads ni matangazo ya kulipia ambayo wewe kama mfanyabiashara unalipia ili mtandao husika waonyeshe post yako kwa watu wengi mtandaoni na waishie kukutafuta whatsapp wanunue unachouza au upate followers!
Kupitia ebook hii ndio utajifunza jinsi ya kulipia na kuyarusha mwenyewe kwenye page yako Instagram, Facebook na Tiktok!
Amani Longishu, ni mwalimu wa biashara kwenye mitandao ya kijamii na mtaalamu wa masoko mtandaoni tangu julai 2019.
Amewasaidia wafanyabiashara zaidi ya 1500+ kujibrand instagram, facebook, tiktok na Whatsapp na kupata wateja wanaonunua!
Pia ndio mtayarishaji na muongozaji wa Amani Business School Podcast inayotoa dondoo kuhusu biashara, uuzaji kwenye mitandao ya kijamii na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kupata wateja na kujenga chapa.
LIPA NAMBA 35982856
Jina: AMANI ISAYA LONGISHU
Kiasi: Tsh 15,000
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!
NMB BANK
Account Namba: 23010007065
Jina La Akaunti: AMANI LONGISHU
Kiasi: Tsh 15,000
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!
Kitabu ni softcopy kwahiyo nakutumia kwa whatsapp baada ya kufanya malipo!
Ndio nakutumia tena kwa njia ya whatsapp au email!
Ndio ukikwama mahali unaweza kuuliza swali na mimi coach wako nitakujibu na kukuelekeza tena!
Tsh 15,000 tuu na unalipia kwa mpesa lipa no 35982856 baada ya hapo tuma muamala wako whatsapp 0658145285 nikutumie kitabu chako!
Hakuna!