Ujifunze kuuza online, kurusha matangazo na mbinu za kupata wateja kila siku bila kutumia gharama kubwa za matangazo!







Hapana, mimi na wewe tunakutana sehemu nyingine mbali na sehemu ya biashara yako!
Masaa 3
Ndio nitakufanyia bure setup ya audience ila volume 1 ile ya Tsh 75,000
Gharama Ya Kuonana Na Coach Amani ili kupata mafunzo na ushauri ana kwa ana ni Tsh 200,000/=
Unalipia Tsh 100,000/= kabla ili kuconfirm tarehe, siku na mahali pa kukutana alafu Tsh 100,000 iliyobakia utamalizia siku tukikutana!
Amani Longishu, ni mwalimu wa biashara kwenye mitandao ya kijamii na mtaalamu wa masoko mtandaoni tangu julai 2019.
Amewasaidia wafanyabiashara zaidi ya 1500+ kujibrand instagram, facebook, tiktok na Whatsapp na kupata wateja wanaonunua!
Pia ndio mtayarishaji na muongozaji wa Amani Business School Podcast inayotoa dondoo kuhusu biashara, uuzaji kwenye mitandao ya kijamii na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kupata wateja na kujenga chapa.
LIPA NAMBA 35982856
Jina: AMANI ISAYA LONGISHU
Kiasi: Tsh 100,000 kama ukilipia nusu kwanza au Tsh 200,000 kama ukilipia yote
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!
NMB BANK
Account Namba: 23010007065
Jina La Akaunti: AMANI LONGISHU
Kiasi: Tsh 100,000 kama ukilipia nusu kwanza au Tsh 200,000 kama ukilipia yote
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!
Amani Longishu @2025