Je Unahitaji Tuonane Nikufundishe na Kukupa Ushauri Wa Biashara Yako?

Ujifunze kuuza online, kurusha matangazo na mbinu za kupata wateja kila siku bila kutumia gharama kubwa za matangazo!

Ndani Ya Masaa 3 Utajifunza:

Unahitaji Nini Kabla Ya
Kuamua Kukukutana na Mimi

Utapata Free Bonus Hizi

#1 - Kozi Ya Uza Deilee

Utajifunza nini kwenye kozi hii?

Thamani Yake ni Tsh 90,000/=

#2 - Tingting Audience Setup Vol 1

Utapata nini kwenye huduma hii?

Thamani Yake Ni Tsh 75,000/=

Maswali Na Majibu Kuhusu Consultation

Hapana, mimi na wewe tunakutana sehemu nyingine mbali na sehemu ya biashara yako!

Ndio nitakufanyia bure setup ya audience ila volume 1 ile ya Tsh 75,000

Gharama Ya Kuonana Na Coach Amani ili kupata mafunzo na ushauri ana kwa ana ni Tsh 200,000/=

Unalipia Tsh 100,000/= kabla ili kuconfirm tarehe, siku na mahali pa kukutana alafu Tsh 100,000 iliyobakia utamalizia siku tukikutana!

Amani Longishu
ni Nani?

Amani Longishu, ni mwalimu wa biashara kwenye mitandao ya kijamii na mtaalamu wa masoko mtandaoni tangu julai 2019.

Amewasaidia wafanyabiashara zaidi ya 1500+ kujibrand instagram, facebook, tiktok na Whatsapp na kupata wateja wanaonunua!

Pia ndio mtayarishaji na muongozaji wa Amani Business School Podcast inayotoa dondoo kuhusu biashara, uuzaji kwenye mitandao ya kijamii na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kupata wateja na kujenga chapa.

Njia 2 Unazoweza Kutumia Kufanya Malipo

#1 - Lipa Kwa MPESA

LIPA NAMBA 35982856

Jina: AMANI ISAYA LONGISHU

Kiasi: Tsh 100,000 kama ukilipia nusu kwanza au Tsh 200,000 kama ukilipia yote

BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!

Kama Umeshalipia Kwa Lipa Namba
Tuma Uthibitisho Wa Muamala Hapa

#2 - Hamisha Kwenda Benki

NMB BANK

Account Namba: 23010007065

Jina La Akaunti: AMANI LONGISHU

Kiasi: Tsh 100,000 kama ukilipia nusu kwanza au Tsh 200,000 kama ukilipia yote

BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!

Kama Umehamisha Kwenda Benki
Tuma Uthibitisho Wa Muamala Hapa

This site is not a part of the Facebook website or Facebook Inc. Additionally, This site is NOT endorsed by Facebook in any way. FACEBOOK is a trademark or FACEBOOK, Inc.

Amani Longishu @2025