Usisubirie Wateja Wapita Njia

Anza Kujitangaza Online
Upate Wateja Kila Siku

Wafanyabiashara 1500+ wamefaidika!!

Kozi Ya Uza Deilee Inamfaa..

Unahitaji Nini
Kabla Ya Kujiunga
Kozi Ya Uza Deilee?

Shuhuda Za Wafanyabiashara
Waliofaidika Na Kozi Hii

Kpj Collection

5/5

Muuzaji Wa Nguo

Anafunga pisi 50 kwa siku na kuuza kwa wateja wa mikoani, analala na faida ya Tsh 100,000 kwa siku!

Ngoni Beauty

5/5

Muuzaji Wa Vipodozi

Alianza biashara yake ya vipodozi ila alikuwa haujui atauziia wapi! Akakkutana na mimi mtandaoni akajiunga na kozi sasa anakula matunda ya biashara yake!

Precious Cosmetics

5/5

Muuzaji Wa Vipodozi

Anapata mauzo makubwa sanaa baada ya kumtumia coach amani katika biashara yake!

Utaanza Na Kozi Ipi?

#1 - Uza Deilee Instagram

Utajifunza nini kwenye kozi hii?

Ada Yake Ni
Tsh 30,000/= tuu

#2 - Uza Deilee Tiktok

Utajifunza nini kwenye kozi hii?

Ada Yake Ni
Tsh 30,000/= tuu

#3 - Uza Deilee Facebook

Utajifunza nini kwenye kozi hii?

Ada Yake Ni
Tsh 30,000/= tuu

Amani Longishu
ni Nani?

Amani Longishu, ni mwalimu wa biashara kwenye mitandao ya kijamii na mtaalamu wa masoko mtandaoni tangu julai 2019.

Amewasaidia wafanyabiashara zaidi ya 1500+ kujibrand instagram, facebook, tiktok na Whatsapp na kupata wateja wanaonunua!

Pia ndio mtayarishaji na muongozaji wa Amani Business School Podcast inayotoa dondoo kuhusu biashara, uuzaji kwenye mitandao ya kijamii na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kupata wateja na kujenga chapa.

Maswali Na Majibu Kuhusu Kozi Ya Uza Deilee

Kozi ya Uza Deilee ni ya online na unatakiwa uwe na app ya Telegram ili upate mafunzo, sifundishi kwa whatsapp groups!

Kwavile kozi ipo tayari inaweza kukuchukua siku 1, wiki au mwezi kuimaliza maana muda unajipangia mwenyewe wa kujifunza!

Ndio Kila kipengele kina sehemu ambayo unaweza kuuliza swali na mimi coach wako nitakujibu na kukuelekeza tena!

Kozi ya Instagram pekee ni Tsh 30,000/= 

Kozi ya Tiktok pekee ni Tsh 30,000/=

Kozi ya Facebook ni Tsh 30,000/=

Jumla kozi zote 3 ni Tsh 90,000/=

Hakuna discount yoyote maana mwanzo hii kozi ilikua ni Tsh 100,000/= nikaivunjavunja zipatikane kozi 3 kwahiyo punguzo ni Tsh 10,000/=

Kabla Ya
Kulipia Hakikisha Umejiunga Na Telegram!!

#1 Lipa Kwa MPESA

LIPA NAMBA 35982856

Jina: AMANI ISAYA LONGISHU

Kiasi: Tsh 30,000 au Tsh 60,000 au Tsh 90,000

BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!

Kama Umeshalipia Kwa Lipa Namba
Tuma Uthibitisho Wa Muamala Hapa

#2 Hamisha Kwenda Benki

NMB BANK

Account Namba: 23010007065

Jina La Akaunti: AMANI LONGISHU

Kiasi: Tsh 30,000 au Tsh 60,000 au Tsh 90,000

BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!

Kama Umehamisha Kwenda Benki
Tuma Uthibitisho Wa Muamala Hapa

This site is not a part of the Facebook website or Facebook Inc. Additionally, This site is NOT endorsed by Facebook in any way. FACEBOOK is a trademark or FACEBOOK, Inc.