Anafunga pisi 50 kwa siku na kuuza kwa wateja wa mikoani, analala na faida ya Tsh 100,000 kwa siku!
Alianza biashara yake ya vipodozi ila alikuwa haujui atauziia wapi! Akakkutana na mimi mtandaoni akajiunga na kozi sasa anakula matunda ya biashara yake!
Anapata mauzo makubwa sanaa baada ya kumtumia coach amani katika biashara yake!
Amani Longishu, ni mwalimu wa biashara kwenye mitandao ya kijamii na mtaalamu wa masoko mtandaoni tangu julai 2019.
Amewasaidia wafanyabiashara zaidi ya 1500+ kujibrand instagram, facebook, tiktok na Whatsapp na kupata wateja wanaonunua!
Pia ndio mtayarishaji na muongozaji wa Amani Business School Podcast inayotoa dondoo kuhusu biashara, uuzaji kwenye mitandao ya kijamii na namna ya kutumia mitandao ya kijamii kupata wateja na kujenga chapa.
Kozi ya Uza Deilee ni ya online na unatakiwa uwe na app ya Telegram ili upate mafunzo, sifundishi kwa whatsapp groups!
Kwavile kozi ipo tayari inaweza kukuchukua siku 1, wiki au mwezi kuimaliza maana muda unajipangia mwenyewe wa kujifunza!
Ndio Kila kipengele kina sehemu ambayo unaweza kuuliza swali na mimi coach wako nitakujibu na kukuelekeza tena!
Kozi ya Instagram pekee ni Tsh 30,000/=
Kozi ya Tiktok pekee ni Tsh 30,000/=
Kozi ya Facebook ni Tsh 30,000/=
Jumla kozi zote 3 ni Tsh 90,000/=
Hakuna discount yoyote maana mwanzo hii kozi ilikua ni Tsh 100,000/= nikaivunjavunja zipatikane kozi 3 kwahiyo punguzo ni Tsh 10,000/=
LIPA NAMBA 35982856
Jina: AMANI ISAYA LONGISHU
Kiasi: Tsh 30,000 au Tsh 60,000 au Tsh 90,000
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!
NMB BANK
Account Namba: 23010007065
Jina La Akaunti: AMANI LONGISHU
Kiasi: Tsh 30,000 au Tsh 60,000 au Tsh 90,000
BAADA YA KULIPIA:
Tuma message Whatsapp +255 658 145 285 ya jina la muamala wako!